Thursday, February 07, 2013

ASKARI POLISI NA DEREVA WA BAJAJI WAKAMATA MAHELA YA VODACOM

 
Meneja Mawasilianao wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa (kushoto) akimkabidhi fedha kiasi cha shilingi Milioni 5  mshindi  wa  Promosheni ya “MAHELA” Ofisa wa Polisi kanda maalumu ya jijini Dar es Salaam Bi.Liberata Kaligita. Aliejishindia kwenye promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, zaidi ya shilingi milioni 400 zinaendelea kushindaniwa, katikati ni Ofisa Polisi Bethuel Sumari.
 
Meneja Mawasilianao wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa (kushoto) akimsisitiza jambo mshindi wa Promosheni ya MAHELA”ambae ni dereva wa Bajaji Mbezi Kimara Bw. Paskal Susuma (kulia)wakati wa kumkabidhi  pesa zake kiasi cha shilingi Milioni 1 aliyojishindia katika  promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, zaidi ya shilingi milioni 400 zinaendelea kushindaniwa, katikati ni Meneja uhusiano wa kampuni hiyo Bw. Matina Nkurlu.
 
Mshindi  wa  Promosheni ya “MAHELA” Ofisa wa Polisi kanda maalumu ya jijini Dar es Salaam Bi.Liberata Kaligita akishuhudiwa na Meneja Mawasilianao wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa (kushoto) pamoja na Ofisa Polisi Bethuel Sumari, akihesabu fedha zake kiasi cha shilingi Milioni 5 alizojishindia kwenye promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, zaidi ya shilingi milioni 400 zinaendelea kushindaniwa.
 
Mshindi  wa  Promosheni ya “MAHELA” Ofisa wa Polisi kanda maalumu ya jijini Dar es Salaam Bi.Liberata Kaligita alieshikilia pesa  akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kukabidhiwa pesa zake kiasi cha shilingi Milioni 5 alizojishindia kwenye promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,kushoto ni Meneja Mawasilianao wa Vodacom Tanzania, Rukia Mtingwa.Jumla ya shilingi milioni 400 zinaendelea kushindaniwa.
 
Baadhi ya washindi wa Promoshesheni ya MAHELA” inayoendeshwa na Vodacom Tanzania wakizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kukabidhiwa pesa zao leo kwenye makao makuu ya Vodacom Tanzania Mlimani city jijini Dar es salaam. Zaidi ya shilingi milioni 400 zinaendelea kushindaniwa.

No comments: