Thursday, February 28, 2013

BOHARI YA DAWA (MSD) YAONESHA VIFAA TIBA VYA KISASA KATIKA MAONESHO YA WADAU WA HUDUMA ZA AFYA KUSINI MWA AFRIKA

 Ofisa Huduma kwa Wateja wa Bohari ya Dawa (MSD),Florida Sianga (kulia)) akiwaelekeza Monica Gofrey (kushoto) na Geofrey Kandi kifaa tiba aina ya sterilizer inayotumia gesi katika maonesho ya Shirikisho la Wadau wa Huduma za Afya Kusini Mwa Afrika, leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
                                              Wageni hao wakiendelea kupata maelezo

 Kitanda cha wagonjwa ambacho ni baadhi ya vifaa tiba vinavouzwa na MSD
                                              Kifaa Tiba aina ya kitasishaji 'Starilizer' inayotumia gesi
                                                                 Kitanda cha kujifungulia
 Kabati la kusambazia dawa wodini 'Dispensing Trolley'
                                           Banda la MSD linavyoonekana kwenye maonesho hayo


(PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

No comments: