Tuesday, February 05, 2013

Wabunge wa Upinzani Watoka nje kupinga ubabe wa Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai Kuamua kuondoa hoja ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema Mh John Mnyika


Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Tundu Lissu akitoka ndani ya ukumbi wa Bunge
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbuge wa Singida mashariki (CHADEMA),Mh. Tundu Lissu akipinga hoja Bungeni mjini Dodoma, Kushoto ni Mbunge wa iringa mjini (CHADEMA)Mch Peter Msigwa
Picha juu ni wabunge wa upinzani wakiwa wamesimama wote kwa pamoja kupinga hoja Bungeni.
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Tundu Lissu (kulia} akijadiliana jambo na Naibu Spika wa Bunge, Mh. Job Ndugai nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.Wengine ni Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mh. Joshua Nassari na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Msigwa
Naibu Spika Bunge,Mh. Job Ndugai (kulia) akionyeshwa makabrasha na Mbunge wa Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari muda mfui baada ya kuahurishwa kwa kikao cha Bunge. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

No comments: